Tuesday, March 9, 2010

KWA WASOMAJI WA BLOG HII

Furaha zenu ziongezeke kama bei ya PETROL,mashaka yapungue kama ajira zenu,hekima zenu zizagae kama bidhaa za MCHINA,muwe na thamani kama viungo vya ALBINO vinavyotakiwa kulindwa.

No comments:

Post a Comment