Saturday, March 20, 2010

MCHARAZO WA LEO

Leo ni siku ya uvaaji chupi duniani,watu wanasheherekea kwa kutaja rangi ya chupi aliyovaa leo,Je! Wewe umevaa rangi gani? Ukikaa kimya maana yake leo hujavaa,usipo jibu umevaa chupi chafu,ukicheka hutakuwa umevaa iliyochanika na ukisoma peke yako sms hii utakuwa umevaa over size.HAPPY CHUPI DAY.

No comments:

Post a Comment