Saturday, March 20, 2010

UJIO MPYA


msanii Nura Haji a.k.a Noorah safari hii ameamua kurudi kivingine kabisi ama kurudi enzi zake za zamani wakati wa ngoma yake ile inaitwa HANITAKI.noorah safari hii ameamua kuimba kwasababu anaamini anauwezo mkubwa upande huo pia.
"raia wasishtuke ikitoka ngoma nimeimba mwanzo mwisho, na sio kwa kujaribu! kuimba hasa hasa ile!, nimeimprove sana safari hii, coz music will always be a part of my life so nimeamua kuufanya serious nw!
kuimba bana!. STAY TUNE KWA THE NEW NOORAH

No comments:

Post a Comment