Isha kushoto na rafiki yake hanifa ambaye mume wa isha anamshtumu kumpeleka pabaya mkewe, kukosa amani ndani ya ndoa yao mpaka kufikia juzi kuamkia jana kupigana mpaka kuvunjiana magari yao.Hizo ndizo habari za kibarazan kwetu kwa wiki hii,mchapo zaidi nitaufatilia ili nije kuwapa vituuuu
kona hii ni nyingine na lengo ni kuleta vijana wakiume wenye mapozi na mitindo ya fashen za kisasa,tuma picha yako kwenye Email yangu na mimi nikurushe,tunaanza na hao hapo juu