Saturday, April 24, 2010

CAMERA YANGU (JICHO LA 3)

WAKUSWAMPA KITAA





Kaole katika kundi lilotoa wasanii wengi maarufu wa filam nchini Tanzania.Kama unakumbuka katika michezo ya Kaole kama Radi na Fukuto iliyokuwa inarushwa katika kituo cha ITV alikuwa anajulikana kwa jina la Promoter Jongo akiwa na swahiba wake Juma Mchopanga na akawa anajishughulisha na mambo ya mapromotion kwa kuandaa maonyesho ya kisanii.Kwa sasa Dr manyaunyau anajishughulisha na shughuli zake za uganga hapa nchini na nchi za nje.Dr Manyaunyau anasifika kwa kula paka akiwa katika shughuli zake za kiganga na kujipatia umaarufu mkubwa hapa nchini.

Monday, April 12, 2010

CAMERA YANGU (JICHO LA TATU)





Kutoka kitaani tunapoishi mpanga ndani ya blog asante kwa kuzitazama

Thursday, April 8, 2010

WAKUSWAMPA KITAA




mkazi wa hapa jijini Dar alikuwa kapanga huko Magomeni kwa mwaka mzima nyumba ya dada mmoja hivi.Ila kwa kipindi kirefu anasema mama mwenye nyumba amekuwa akimyanyasa yeye na wapangaji wenzake.Sasa kodi yake imeisha jumamosi ya juzi 27 na ikawa ndio siku yake ya kuhama.Akaamua kabla ya kuhama kabisa afanye sherehe ya kuhama nyumba hiyo na kumshukuru mungu kumuepusha na balaa la kuendelea kuishi nyumba hiyo.Na pia kumpa mama mwenye nyumba vipande vyake.