Saturday, June 18, 2011

CHEKA NA MJOMBA NISHAI

1 Jamaa 1 alikuwa anafanya mapenzi na demu * akakojoa kisha akatulia kwenye kifua cha yule demu.
DEMU:Akamwambia c umekojoa? mbona ume2lia?
jamaa:nasubiri kunya.
2 Mkundu wa kuku huko bize kweli kweli! kunya huo huo! kukojoa huo huo! kutaga mayai huo huo! na hata kufanya mapenzi ni huo huo!,nakushauri kuwa bize zaidi ya mkundu wa kuku.
3 Bibi kizee alipatwa na nyege hakamwomba mmewe amtombe,
Mzee:hakajibu 2meshazeeka kwa haya mambo cna uwezo.
Bibi:hakamwambia bac ninyonye mbibi
Baba hakazama.Asubuhi kulipokucha babu hakakutwa amefariki,uchunguzi ukaonyesha babu kafa kwa kulamba ki2 kilichokwisha muda wa ma2mizi.
4 Bibi aliolewa * 3,mume wa 4 akamkuta bikra ikabidi amuulize vipi?
Bibi hakajibu:mume wa 1 alikuwa anauza Ice cream,alikuwa ananinyonya 2,mume wa 2 alikuwa mpiga picha,alikuwa anapiga picha 2,mume wa 3 alikuwa anafanyakz benki alikuwa hakihesabu shanga 2,mume wa 4 hakamjibu bac mimi ni mzibua vyoo kazi utaiona
5 Mwalimu wa kike aliuliza swali kwa wanafunzi wake!kwanini ng"ombe akitoka kukamuliwa maziwa anakunja sura? mwanafunzi hakajibu,mwalimu ww ushikweshikwe matiti dk 15 harafu uctiwe utafurahi?

Saturday, June 4, 2011

WAKUSWAMPA


Nipo home kimara,nitakuwa bize kidogo,rakin msikonde wapenzi wa blog yangu wapo watakao waletea maujanja zaidi,si wengine bali ni timu yangu ya MCHARAZO

WAKUSWAMPA KITAA



Nimetumiwa na rafiki yangu kipenzi Zainabu,yeye anasema huko marekan boda boda ndiyo kazi kubwa kubeba makahaba walio shindikana,tizama vizuri.
Watanzania na hii tuige basiiiiiiiiii

Saturday, May 14, 2011

BREAKING NEWS

















Hivi ndivyo ilivyokuwa leo jion saa moja kasoro,Loli rililopinduka maeneo ya kimara resort na kuua watu wa tatu.Nikiwa katika moja ya mashuuda wa tukio hilo na kuuona mchezo huo,mmoja kati ya marehemu hao ni Mc na muigizaji wa kikundi cha michezo ya kuigiza na film hapa bongo jina lake sijalifahamu mpaka naondoka hapo ambaye ndiye angekuwa mc ktk shughuli ya hapo Resort Bar siku ya leo,
Kila jambo na wakati wake mungu pekee ndiye anajua wakati wa kira mwanadamu unapotimia kufika mwisho.

Wednesday, April 27, 2011

CHEZEA MANCHESTER UNITED WEWE?







Wapenzi na mashabiki wa timu yetu tuipendayo ya Man U tunajipongeza kwa ushindi tulioupata jana.

KIPENGERE KINGINE KINAKUJA

Hukurasa au Mada nyingine itakayokuwa inausu NYETI KULIKO NYETI ULIZO NAZO ndiyo kinakuja wiki ijayo na msimamizi wake mkuwa ni mjomba Mo wa ukweli
NYETI KULIKO NYETI ULIZO NAZO

MASHINE YA KISASA ZAIDI



Hizi mashine wazungu wanaingizwa humu ndani kisha mtu anafunikwa, Anapikwa mpaka apate ile rangi flani ambayo anaipenda yeye,Binadamu huwa tunatamani kile tusichokuwa nacho, wakati wa Afrika wanajikoboa kuwa weupe wadhungu nao wanataka rangi ya Chocolate

SIJUI NIKIPI KITAKACHO TOKEA BAADAYE


MKAZI wa Mbagala jijini Dar es Salaam, ameibuka na kusema kuwa ameoteshwa na Mungu kutoa dawa kwa njia ya kikombe kutibia wagonjwa wenye maradhi sugu.
Dawa hiyo amedai Mungu amemuotesha kutoa dawa ambayo ni maji ya kisima, bomba na haichanganywi na chochote zaidi ya maji hayo.

Awali kijana huyo aliyekuwa akiabudu dini ya Ukristo na baadae kubadili dini na kuwa Muislam na ndipo ameoteshwa.

Awali imedaiwa kijana huyo alikuwa akifanya kazi ya ukonda katika daladala na hivi karibuni ameibuka na kudai kuwa ameoteshwa.

Kufuatia taarifa hiyo watu wameanza kujitokeza nyumbani kwa kijana huyo kupata kikombe cha dawa hiyo huku akiwa ameshika msaahafu mkononi.

Hata hivyo Kamanda wa Polisi Temeke, wanafanya jitihada za kufanya mahojiano maalum na kijana huyo na taarifa itatolewa kwenye vyombo vya habari.

Kijana huyu ni wa saba kujitokeza na kudai wameoteshwa na Mungu na wengine wamejitokeza katika mkoa wa Mbeya, Moshi, Mbeya, Iringa, Tabora na Morogoro, Pwani wote wakidai kuoteshwa na Mungu kutoa tiba kwa njia ya kikombe.

Saturday, April 23, 2011

WAKUSWAMPA KITAA





Hali hii ilitokea leo mchana mitaa ya home kwetu magomeni kagera jiji dar es salaam.

Wednesday, April 20, 2011

40 YA 5 STARS




Machozi, simanzi na huzuni vimeibuka upya wakati wa kuhitimisha siku 40 za msiba wa vifo vya wanamuziki 13 wa Kundi la Five Stars Modern Taarab waliopoteza maisha kwa ajali ya gari huko Mikumi, Morogoro usiku wa Jumatatu ya Machi 21, mwaka huu.

Tukio hilo la hitma lililoshuhudiwa na gazeti hili lilijiri katika Ukumbi wa PTA Sabasaba, Temeke jijini Dar es Salaam Jumapili iliyopita ambapo lilihudhuriwa na kadamnasi kutoka sehemu mbalimbali, nje na ndani ya jiji.
baadhi ya wanamuziki walionusurika kwenye ajali hiyo wakitokwa na machozi hivyo kuibua upya vilio kwa mastaa na watu wengine waliokuwa wakiwakumbuka marehemu kifamilia na kimuziki.


“Unajua watu wakikumbuka ajali yenyewe ilivyokuwa, lazima watokwe machozi,” alisema mmoja wa wakurugenzi wa kundi hilo, Ferouz Juma na kuongeza:
“Kwa sasa ni vigumu kufikiria kurudi upya kwa kundi letu kwani wengi wetu tuna vitu vinatusumbua vichwani.

“Bado wanamuziki wetu walionusurika wanahitaji muda wa ziada kulitafakari lile tukio.
“Kila mmoja akimtazama mwenzake hapa anatokwa na machozi hasa wakivuta hisia kwa wenzao waliopoteza maisha wakiwa wanawaona.”

ZENA ATANGAZA KUACHA MUZIKI

Mwimbaji mkongwe wa kundi hilo aliyedumu katika muziki wa mwambao kwa zaidi ya miaka kumi, Zena Mohamed ambaye alinusurika kifo kwenye ajali hiyo alilieleza gazeti hili kuwa, amepoteza imani na muziki hivyo hafikirii kurejea tena jukwaani.
Alitoa kilio chake kuwa, tangu lilipotokea tukio hilo na yeye kuponea chupuchupu, amekuwa akisumbuliwa na ndoto za ajabu ajabu kila kukicha.
Alifunguka: “(Huku akitokwa machozi) Nahisi kama Israel mtoa roho za watu ananifuata kila ninapokwenda.
“Achilia mbali kupanda jukwaani ambako sitaki kusikia, lakini hata nikiwa nyumbani hali ya maruweruwe huwa inanijia mara kwa mara kichwani

MAREHEMU
Katika ajali hiyo waliopoteza maisha ni pamoja na Issa Ally ‘Kijoti’, Husna Mapande, Sheba Juma ‘Jasusi’, Omary Hashim na Hamisa Mussa.
Wengine ni Ramadhan Maheza ‘Kinyoya’, Omary Tall, Samir Maulid, Hajji Mdahaniwa, Hassan Ngereza, Maimuna Makuka ‘Kisosi’, Hajji Babu na Tizo Mgunda.

NI KWELI MVUA INALETA HAMASA YA NGONO?




Kwa sasa mvua ina nyesha...kuna mtu kanifata ananiambia mpenzi wake ana mwambia awahi kutoka ofisini leo kwani ana hamu nae na hiki kimvua ndo usipime.Akaniuliza hivi mvua huwa inaleta hamu ya kufanya ngono?mie sikuwa najibu kwa sababu mie binafsi huwa napenda kulala wakati mvua inanyesha nje.Nikasema nikuulize mdau ni kweli haya mambo mvua huleta hamu na kama ni kweli kwa nini??
KWANGU MIMI
1.mvua haihamasishi ngono ila ni baridi ambalo linatokana na mvua ndoo liufanya mwili kuchemka na kuwa na uhitaji,so wanawake wengi wawe makini kwenye kipindi kama hichi coz mimba ziko nje nje 2nashindwa niseme nn hapa ila kama ingekuwa baridi inaleta hamasa basi nchi za wenzetu zenye baridi na mvua kwa mda mrefu ingekuwa balaa kwa kuzaana. kwangu binafsi naona niuamuzi wa mtu na mtu mana hata kama mvua inanyesha kama hujaandaa mazingira ya kungonoka basi huwezi kufanya hicho kitendo. Du wadau kungonoka kunahitaji kuandaliwe banaaaaaaa.3 Si kweli ni fikra na hisia za watu kuwawazia wapenzi wao kuwa kwa sababu mvua hairusu mtu kutoka nje au kuwa mahali fulani zaidi ya ndani ya nyumba basi watu huwaza saa hizi ningekuwa nimejifungia na fulani.

Mmmhh Waswahili kwa kudata na ngono hawajambo 4Hapa nawaachia wadau mchakachue

MZIGO SOKONI




Kutoka kushoto ni JACKLINE PENTZEL, WEMA SEPETU pamoja na ROSE NDAUKA kwa pamoja wanaunda kundi linaloitwa JAROWE ambapo wana malengo mengi sana kwenye Industry ya Filamu BONGO.. kwasasa hivi wamekuja na filamu yao mpya kabisa inayoitwa THE DIARY kama cover yake inavyoonekana hapo juu.. UNAIONAJE COVER...!!???
Huu ni muonekano wa Cover ya PART TWO... THE DIARY coming soon kutoka JAROWE ambapo ni kifupi cha JACKY,WEMA na ROSE

Tabasamu! Ahaaa Unachekaaa?