Tuesday, February 19, 2013

BREAKING NEWS

UNA MAONI GANI KUHUSU HII BARUA ALIYOIANDIKA PAPII KOCHA KWA MR.PRESDENT?BE SERIOUS!!!! MF/NA: 836'04 Johnson Nguza (Papii Kocha) Gereza Kuu Ukonga S.L.P 9091 Dar es Salaam Mh. Rais Jamuhuri ya Muungano Tanzania YAH: MAOMBI YA KUPEWA MSAADA (MSAMAHA) WA KUFUTIWA ADHABU YA KIFUNGO NILIYOPEWA NA MAHAKAMA YA HAKIMU MKAZI KISUTU. Husika na somo hilo hapo juu. Mimi ni mfungwa katika gereza kuu Ukonga. Kwa heshma na taadhima na kwa kutambua utu na huruma yako ya kiMUNGU ulionayo dhidi ya binadamu wenzako pamoja na mamlaka uliokabidhiwa na Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania. Naanguka na kushika miguu yako mitukufu muheshimiwa rais. Nakuomba msaada (msamaha) kwako muheshimiwa rais, kwa njia hii ya maandishi kusudi niweze kuondolewa adhabu ya kifungo cha maishagerezani,niliyohukumiwa na mahakama tajwa hapo juu. Mh.Rais mimi nimefungwa nikiwa bado kijana mwenye umri mdogo, na ukweli kutoka moyoni sikufanya kosa hilo. Si mimi, baba yangu Nguza wala ndugu ya...ngu yeyote aliyefanya kitendo kile. Lakini wenye mamlakawakatuona tuna hatia na kuamua kuteketeza kizazi chetu gerezani. Natamani kiama ifike ili mwenyezi Mungu aweke wazi ukweli wote uliojificha nyuma ya pazia. Mpaka sasa natambua wazi hatima pamoja na dhamana ya maisha yangu ipo katika mikono yako mitukufu Mh. Rais Naomba huruma yako muheshimiwa Rais maana mimi ni mtoto wako ninaehitaji huruma yako wewe mzazi. Lakini pia sisi ni binadamu wenye nafsi na miili kama wengine. Waliotumia mamlaka yao kutuweka gerezani nao ni binadamu pia, wenye miili na nafsi. Ipo siku nafsi zetu zitapaswa kutoa hesabu ya tuliyoyafanya hapa duniani. wakati huo miili yetu tunayoitumia kunyanyasa wanyonge itakuwa imeoza mavumbini. Natumaini kauli yako ya mwisho ndio itakayoleta pumzi ya uhai nafsini mwangu. Nakutakia kazi njema, afya njema na maisha marefu. Mungu akubariki. Wako mtiifu Mfungwa NO:836'04 JOHNSON NGUZA (PAPII KOCHA)..See More— with Jimmy Zacharia Zitto and 45 others.

BREAKING NEWS

UNA MAONI GANI KUHUSU HII BARUA ALIYOIANDIKA PAPII KOCHA KWA MR.PRESDENT?BE SERIOUS!!!! MF/NA: 836'04 Johnson Nguza (Papii Kocha) Gereza Kuu Ukonga S.L.P 9091 Dar es Salaam Mh. Rais Jamuhuri ya Muungano Tanzania YAH: MAOMBI YA KUPEWA MSAADA (MSAMAHA) WA KUFUTIWA ADHABU YA KIFUNGO NILIYOPEWA NA MAHAKAMA YA HAKIMU MKAZI KISUTU. Husika na somo hilo hapo juu. Mimi ni mfungwa katika gereza kuu Ukonga. Kwa heshma na taadhima na kwa kutambua utu na huruma yako ya kiMUNGU ulionayo dhidi ya binadamu wenzako pamoja na mamlaka uliokabidhiwa na Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania. Naanguka na kushika miguu yako mitukufu muheshimiwa rais. Nakuomba msaada (msamaha) kwako muheshimiwa rais, kwa njia hii ya maandishi kusudi niweze kuondolewa adhabu ya kifungo cha maishagerezani,niliyohukumiwa na mahakama tajwa hapo juu. Mh.Rais mimi nimefungwa nikiwa bado kijana mwenye umri mdogo, na ukweli kutoka moyoni sikufanya kosa hilo. Si mimi, baba yangu Nguza wala ndugu ya...ngu yeyote aliyefanya kitendo kile. Lakini wenye mamlakawakatuona tuna hatia na kuamua kuteketeza kizazi chetu gerezani. Natamani kiama ifike ili mwenyezi Mungu aweke wazi ukweli wote uliojificha nyuma ya pazia. Mpaka sasa natambua wazi hatima pamoja na dhamana ya maisha yangu ipo katika mikono yako mitukufu Mh. Rais Naomba huruma yako muheshimiwa Rais maana mimi ni mtoto wako ninaehitaji huruma yako wewe mzazi. Lakini pia sisi ni binadamu wenye nafsi na miili kama wengine. Waliotumia mamlaka yao kutuweka gerezani nao ni binadamu pia, wenye miili na nafsi. Ipo siku nafsi zetu zitapaswa kutoa hesabu ya tuliyoyafanya hapa duniani. wakati huo miili yetu tunayoitumia kunyanyasa wanyonge itakuwa imeoza mavumbini. Natumaini kauli yako ya mwisho ndio itakayoleta pumzi ya uhai nafsini mwangu. Nakutakia kazi njema, afya njema na maisha marefu. Mungu akubariki. Wako mtiifu Mfungwa NO:836'04 JOHNSON NGUZA (PAPII KOCHA)..See More— with Jimmy Zacharia Zitto and 45 others.

Monday, February 18, 2013

2LIPOTOKA NI MBARI

KARIA SOFA JIACHIE

Kama unaitaji mzigo nipigie fasta nikuunganishe.

MWENYEWE PAMBE 2

Nilikutana na jack kamugisha,nikamuomba na sasa huyu hapa,mwenyewe pambe 2 ana maneno

Tuesday, February 12, 2013

WAKUSWAMPA KITAA

BAD NEWS:Kwa wakaz wa magomen Kagera na Maeneo Ya jiran Huu ni mwili wa mtoto Mdogo aliefariki baada ya Kujifungia kwenye Gari aina Ya Rav4 new Moden iliyokua packng bila lock ya mlango kufungwa!"chanzo che2 kinadai huwa ni kawaida ya mtoto huyo kua maeneo yale na kucheza na wenyeji wa pale,mweli wa mtoto huyo umechukuliwa na Polis na kwa habar zaidi tutawaletea zitakapopatikana kwa uhakika.