Friday, July 19, 2013

TUPIAMO

Jamaa anatisha ile mbayaaaa! swaga za ukweli,umetupiamo

NIMEZIKUBALI

Wednesday, July 17, 2013

Aaaaaaah!

Nikiwa na mdau wa blog yangu hapa,anaitwa g king,nikiwa nae pande za kimara

MAPOZI

Kwa raha zao,nimewa photo

WAUKWEL

NDIYO STAR WANGU WA SASA KATIKA PG YANGU HII,UNAMFAHAMU,CHEZEA ULIPUKE

MWENYEWE PAMBE 2

Nipo na danny mtoto wa mama WENYEWE PAMBE 2