Tuesday, February 12, 2013

WAKUSWAMPA KITAA

BAD NEWS:Kwa wakaz wa magomen Kagera na Maeneo Ya jiran Huu ni mwili wa mtoto Mdogo aliefariki baada ya Kujifungia kwenye Gari aina Ya Rav4 new Moden iliyokua packng bila lock ya mlango kufungwa!"chanzo che2 kinadai huwa ni kawaida ya mtoto huyo kua maeneo yale na kucheza na wenyeji wa pale,mweli wa mtoto huyo umechukuliwa na Polis na kwa habar zaidi tutawaletea zitakapopatikana kwa uhakika.

No comments:

Post a Comment