Saturday, September 21, 2013

lady jay dee

Chorus: Yahaya unaishi wapi Kwani jina lako halisi nani Yahaya eeehh Oooh Yahaya, Oooh Yahaya, Oooh Yahaya Maskani yako Kinondoni Nyumba namba haijulikani Yahaya eeeehh Oooh Yahaya, Oooh Yahaya VERSE 1: Huyu kijana mwenzetu, Kila siku tupo nae maskani Anakula ofa za watu, Anapoishi hata hapajulikani Tumetafuta, tumeuliza, hakuna ajuae Anavyozuga, anavyopita Si umdhaniae Na hafananii kabisa, na fix anazofanya Akidanganya kwa kina Unaingia kingi unafuata, kumbe hana helaaaa Longo longo nyingi Rudia Chorus: VERSE 2 Kwa story za vilingeni, Utafikiri kweli yeye ndio boss Suruali zake na mashati, Anasema anafanya kazi bank Mara anasema usalama wa Taifa, Hakuna ajuae Kalubandika wa kizazi kipya, usomdhaniae Na hafanii kabisa, na fix anazofanya Akidanganya kwa kina Unaingia kingi unafuata, kumbe hana helaaaa Ooooh Yahaya Rudia Chorus: Mara anasema usalama wa Taifa Hakuna ajuae Kalubandika wa kizazi kipya Uso mdhaniae Na hafanii kabisa na fix anazo fanya Akidanganya kwa kina, unaingia kingi unafuata Kumbe hana helaa Chorus: Yahaya unaishi wapi Kwani jina lako halisi nani Yahaya eeehh Oooh Yahaya, Oooh Yahaya, Oooh Yahaya Maskani yako Kinondoni Nyumba namba haijulikani Yahaya eeeehh Oooh Yahaya, Oooh Yahaya MWISHO: Mtunzi/ Mwandishi: Judith Wambura ( Lady JayDee) Producer: Man Water Studio: Combination Sound

No comments:

Post a Comment