Tuesday, November 2, 2010

ANT EZEKIEL


Nina sababu nyingi za kumuelezea huyu msanii,moja ya sababu hizo ni kwenye movie mpya iliyotoka hivi karibun inayoitwa SIGNATURE kwa kweli amejua kuuvaa uhusika wa kile alichokuwa anafanya,bira ya ubishi tafuta film hii kisha itazame bira ya usumbufu hapo utaona kweli dada huyu hauzi sura kwenye film bali anatafuta chapaa.

No comments:

Post a Comment