Friday, May 28, 2010

BREAKING NEWS


Habari iliyotufikia sasa hivi aliyekuwa msanii wa kaole Mzee Pwagu amefariki dunia nusu saa iliyopita katika hospital ya Amana jijini Dar es salaam.Habari kamili kuhusu msiba huo wa Marehemu Mzee Pwagu tutawaleteeni katika blog yenu kujua maziko na wapi msiba utakuwa.Mungu amuweke mahali pema pepon Amen

No comments:

Post a Comment