Saturday, May 29, 2010

MCHARAZO WA Bi MKUBWA


HAMEKUONA AMEKUPENDA,Je nikweli amekupenda?
Bi mkubwa,Huyo mtu amekutamani na wala ajakupenda,unajua sisi binadamu hatujui kutofautisha kati ya kupenda na kutamani?ninachotaka kukuelezeeni watu kama nyie hukiona mtu wa namna hii muepukie mbali,watu kama hawa huwa hawakosi jiji.
UMFANYIE NINI MPENZI WAKO HUKIWA UNAMAUMBILE MADOGO?
Bi mkubwa,Ongeza mahaba ya kuzikamata hisia zake(kumuandaa)kabla ya tendo la ndoa.
KUGEUZA URAFIKI KUWA MAPENZI.
Bi mkubwa,Zipo gia mbili za kumwingilia rafiki yako ili awe mpenzi, lakini kubwa zaidi hapa ni kwamba ili kumteka kirahisi, ni vizuri ukaongeza ukaribu, hivyo kuwa naye pamoja kwa muda mwingi na katika sehemu mbalimbali.
Kufanya hivyo, itakusaidia uzidi kumteka na kukuona wewe ni sawa na ubavu wake. Muda ambao atakuwa mbali na wewe, atajiona kama kapungukiwa na kitu fulani mwilini ambacho ni uwepo wako. Taswira ikawa ya namna hiyo, ujue kuwa hata ukimwingizia yale mambo yetu(ushirikina) hawezi kupindua,tahadhari yangu kwako ni mapenzi ya ushirikina uwa haya dumu.
TUONANE WIKI IJAYO

No comments:

Post a Comment