Monday, May 31, 2010

CAMERA YANGU (JICHO LA TATU)






Ali Choki aliingia na staili ya aina yake ndani ya ukumbi wa Msasani Club jana usiku tayari kwa utambulisho wa Bendi yake ya Extra Bongo. Baadae staili hiyo ilikuja kujulikana kama Igwee...! Choki haishi Vituko, Ni Burudaanii...tu.

No comments:

Post a Comment