Tuesday, February 22, 2011

MZIGO SOKONI




Filamu ya shoga kutotolewa:Vyanzo vyetu vya habari inasemekana filamu mpya iliyoingia sokoni kutotolewa kwa wauzaji kwa sababu ya maadili ya kitanzania.Kampuni ambayo inasambaza kanda hiyo ya SHOGA imeambiwa iwasilishe haraka mpaka bodi ya taifa ya ukaguzi wa filamu itakapo ikagua,
SWALI:Teyari baadhi ya wauzaji wa filamu nakala wamezisambaza je?itakuwaje?

No comments:

Post a Comment