Tuesday, February 22, 2011

TEAM IMEKAMILIKA,HAPA KAZI 2


Kama kawaida team imekamilika na sasa hipo kikazi zaidi chini ya kiongozi mpya.
team inampa pongezi MOHAMEDY RAJABU kwa kumvalisha pete mpenzi wake lilian hapo siku ya jana mishale ya saa Tano na nusu usiku,usijari Mohamedy mungu bado yupo na mpaka hapo mwisho wa siku ya 4 utakapo funga naye ndoa,
By Pacha wako wa ukweli Hassan Kibajaji

No comments:

Post a Comment