Saturday, March 26, 2011

ADHABU MBELE YA KANISA





Baadhi ya wakazi wa Kizuiani Mbagala wakiuangalia maiti ya mmoja wa watuhumiwa wa wizi, aliyeuawa na wananchi wenye hasira mbele ya Kanisa la Anglikana leo alfajiri baada ya kufanya jaribio la wizi lililoshindikana

No comments:

Post a Comment