Thursday, March 17, 2011

LOLIONDO





Loliondo hapatoshi kama utakuwa mfatiliaji mzuri wa vyombo vya habari hili si jambo geni kwako .Loliondo kwa Mchungaji mstaafu Ambilike Ambwakise kwa kupata dawa ya mitishamba na kupona pia dawa hiyo huambatana na maombi kwa imani yako utapona . watu wengi wamejitokeza na kukimbilia kwa baba ukweli foleni haifai na tiba inatolewa kwa kiasi kidogo cha pesa shilingi 500 tu.


No comments:

Post a Comment