Saturday, March 26, 2011

KIBARAZAN KWE2







Asha Baraka mkurugenzi wa twanga asets alikuwa ni mwenyekiti wa chama ambacho kimeundwa na wao wenyewe kwa ajili ya kuweza kuchangia misaada ya pesa kwa ajili ya kuweza kuzipatia familia za marehemu wa 5 stars.Kupitia leo tena tuliweza kusaidiana kukusanya rambirambi ambazo jana zilichukuliwa na kupelekwa huko kwa wahusika.

Tunawashukuru Mbunge wa kinondoni Idd Azzani,Umoja wa wanawake wa CCM(UWT),Baraza la sanaa la Taifa.Pia band mbalimbali za muziki nchini Twanga pepeta,Fm Academia,Akudo Impact na The Kilimanjaro band wana njenje.
Pia watu mbalimbali ambao walikuwa wakichangia kwa njia ya MPESA kutoka mikoani kote Tanzania na wananchi ambao walienda kuchangia kwa kule Temeke.Wengine walifika kule kinondoni makao makuu ya Twanga pale Aset pasipo kusahau clouds fm radio pia ilitoa rambirambi zao.
Hayo ndiyo yaliyojili kibarazan kwe2 wiki hii.

No comments:

Post a Comment