Saturday, March 19, 2011

WAKUSWAMPA KITAA






Leo jumamosi saa 4 Asubuhi mtaani kwetu kulitokea tukio la kustusha kilichowafanya wakazi wa mtaa wetu hasa maeneo ya jirani waje kujionea.tukio lenyewe ni la huyo mtoto hapo juu anayenyweshwa maziwa,mtoto huyo aliingia chumba cha mpangaji wa mama yake na kuzama uvunguni na kutoa chupa ambayo ndani yake ilikuwa na dawa ya madoa na kuanza kuinywa dawa hiyo,mama wa mtoto huyo alimuona mwanaye hakitapika na kuishiwa nguvu kwa dakika kadhaa ndipo alipoinusa chupa aliyoishikilia mtoto wake na kubaini ilikuwa na dawa ya madoa ambayo ilisibitishwa na mpangaji wa chumba hicho kwa jina la habiba,mpaka naondoka eneo la tukio mtoto huyo anaendelea vizuri huku mama yake hakijiandaa kumpeleka mtoto wake hospital.Wakuswampa kitaa

No comments:

Post a Comment