Hizi mashine wazungu wanaingizwa humu ndani kisha mtu anafunikwa, Anapikwa mpaka apate ile rangi flani ambayo anaipenda yeye,Binadamu huwa tunatamani kile tusichokuwa nacho, wakati wa Afrika wanajikoboa kuwa weupe wadhungu nao wanataka rangi ya Chocolate
No comments:
Post a Comment