Wednesday, April 20, 2011

NI KWELI MVUA INALETA HAMASA YA NGONO?




Kwa sasa mvua ina nyesha...kuna mtu kanifata ananiambia mpenzi wake ana mwambia awahi kutoka ofisini leo kwani ana hamu nae na hiki kimvua ndo usipime.Akaniuliza hivi mvua huwa inaleta hamu ya kufanya ngono?mie sikuwa najibu kwa sababu mie binafsi huwa napenda kulala wakati mvua inanyesha nje.Nikasema nikuulize mdau ni kweli haya mambo mvua huleta hamu na kama ni kweli kwa nini??
KWANGU MIMI
1.mvua haihamasishi ngono ila ni baridi ambalo linatokana na mvua ndoo liufanya mwili kuchemka na kuwa na uhitaji,so wanawake wengi wawe makini kwenye kipindi kama hichi coz mimba ziko nje nje 2nashindwa niseme nn hapa ila kama ingekuwa baridi inaleta hamasa basi nchi za wenzetu zenye baridi na mvua kwa mda mrefu ingekuwa balaa kwa kuzaana. kwangu binafsi naona niuamuzi wa mtu na mtu mana hata kama mvua inanyesha kama hujaandaa mazingira ya kungonoka basi huwezi kufanya hicho kitendo. Du wadau kungonoka kunahitaji kuandaliwe banaaaaaaa.3 Si kweli ni fikra na hisia za watu kuwawazia wapenzi wao kuwa kwa sababu mvua hairusu mtu kutoka nje au kuwa mahali fulani zaidi ya ndani ya nyumba basi watu huwaza saa hizi ningekuwa nimejifungia na fulani.

Mmmhh Waswahili kwa kudata na ngono hawajambo 4Hapa nawaachia wadau mchakachue

No comments:

Post a Comment