Wednesday, April 20, 2011

UNAWAKUMBUKA? MAIGIZO YAO JE?






Hao ni baadhi ya watu ambao ambao waliwahi kushika sana kupitia vipindi vya kwenye LUNINGA(tamthilia) na kwa enzi hizo walikuwa juu sana kupitia michezo yao.. mimi nawakumbuka.. vipi wewe unawakumbuka!!??? kama ndio Unaweza kunitajia majina yao kuanzia huyo wa kwanza mpaka wa mwisho na nini kilikuwa kinakufurahisha kwa kila mmoja...
UNAWAKUMBUKA HAO!!!???

No comments:

Post a Comment