Monday, August 30, 2010

Bi Mkubwa


Bi mkubwa ameamua kuja kuwapa somo wale wote wanaopindisha dini hasa mwezii huu kuwa wajitaidi japo kidogo hata kama hawawezi itikadi hizo,bi mkubwa amewaambia mpaka leo vimebaki vyungu 10 ili tumarize mwezi,basi tuendelee kumuomba kwa kufunga ili hatupunguzie adhabu za dunian na ahera.Haya sasa je tutaweza? wizi umeongezeka kwa hapa bongo ususani sehemu zenye mkusanyiko wa watu wengi mfano kariakoo.Tuwe makini na malizetu.

No comments:

Post a Comment