Monday, August 30, 2010

HII NDIO FAMILY




kushoto anaitwa JOSEPH mtoto wa Modesta Nyoni, na mtoto alie katikati anaitwa BRIAN mtoto wa LUIZA MBUTU (mama B) na kabinti huko upande wa kulia anaitwa ROSE mtoto wa MODESTA pia (aliyekaa mwenye hereni nyekundu)

No comments:

Post a Comment