Wednesday, August 18, 2010

MWEZI MTUKUFU



Wauza mwili duniani kote ususani hapa bongo soko lao limepungua kufikia kukaa japo kwa mitego ili wapate kuwatega wanaume wapenda ngono rakini wapi,wanaume wamekaza misuli kuliko siku zote za mwezi mtukufu,changudoa mmoja hakiongea na mimi kupitia simu yangu ya mkononi hameniambia soko kwa sasa limeshuka sana kupita miezi yote ya mfungo cjui wanaume mwaka huu wameamua ipasavyo na sisi tumetengeneza mbinu mpya ya kuwatega ili tuone wao na sisi nani hodari.

No comments:

Post a Comment