uzinduzi wa kipindi hicho ulifanikiwa wasanii na wadau mbalimbali wa filamu za hapa bongo walionyeshwa kufurahishwa na kipindi hicho.Vipindi vyote vya clouds tv vitazinduliwa kimoja baada ya kingine kwa kualika wadau mbalimbali kuviona kwa mara ya kwanza vikiruka hewani jana walianza na hicho cha Zamaradi.
No comments:
Post a Comment