Saturday, March 20, 2010

MCHAPO



Ilifika zam ya k-sher kutoa hisia zake kwenye mic.

Dhumuni kubwa la kwenda kwa maneke ni kutengeza wimbo kwa ajili ya huu msiba na wimbo huo alifanya K - Sher, Hussein Mchozi pamoja, Tunda Man na mimi mwenyewe dazin kamaa nilihusika hivii.

No comments:

Post a Comment